25 July 2010, 2:41 am
WANACHAMA wa CCM wamemchachamalia mgombea ubunge wa Jimbo la Ukonga, Bw. Magesa Magesa wakimtaka aeleze kwa nini aendelee kuomba nafasi hiyo wakati amehusishwa na tuhuma za kuuza viwanja vya wazi akiwa mtumishi wa idara ya Ardhi katika Manispaa ya Kinondoni.... Read More »